Friday, April 27, 2012

Ethiopia kula nyama mbichi ni jambo la kawaida.

Maeneo mengi katika nchi ya Ethiopia ni jambo la kawaida. .










Maandalizi huanzia buchani. Nyama ya Mbuzi na Ngamia hukatwa katwa vizuri na kuchanganywa na Viuongo tu, kisha huwa tayari kwa kuliwa kama inavyoonekana katika picha hapo juu.

No comments:

Post a Comment