Wakili wa waleta maombi ya wana CCM, Godfrey
Wasonga, akitafakari kwa hisia kali muda mfupi kabla ya kesi ya kupinga matokeo
yaliyompa Ubunge Tundu Lissu, hayajatangazwa leo Mahakamani. (Picha zote na
Nathaniel Limu)
Mbunge wa viti maalum
Kataru, mkoani Manyara, Rose Kamili (anayeangaalia kamera), akilia kwa furaha
pamoja na Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu, muda mfupi baada
ya Mahakama Kuu, kutupilia mbali pingamizi la kupinga matokeo yaliyompa ushindi
wa Ubunge, Tundu Lisu, leo mkoani humo
Mbunge wa
Jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, akifutwa machozi na mke
wake, wakati wakitoka nje ya Mahakama Kuu, baada ya Mahakama hiyo, kutangaza
kuwa ushindi wake huo ni halali.
Baadhi wa
watu waliohudhuria kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi
Tundu Lisu kuwa Mbunge, wakifurahia ushindi huo, muda mfupi baada ya maamuzi
hayo kutolewa.
.
No comments:
Post a Comment